HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, October 30, 2008
Hivi ndivyo ilivyokuwa jana wakati rais mtarajiwa Barak Obama na rais wa zamani Bill Clinton walipopanda jukwaani kwa mara ya kwanza wakiwa pamoja katika kuwahamasisha raia kupiga kura kwa wingi ili kumchagua bwana Obama, hapo ifikapo Jumanne Novemba 4, 2008.
No comments:
Post a Comment