
Ni mmoja wa viongozi Duniani ambaye siku zote aliiweka nchi na watu wake mbele na ubinafsi nyuma. Alikuwa na uchungu na nchi na huruma wa wanyonge kote Duniani.
Mungu ibariki roho ya hayati Baba, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na tutakukumbuka daima na milele.
No comments:
Post a Comment