HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Sunday, November 30, 2008
Kama bwana Mugabe ameshindwa kuwapatia wananchi wake unafuu wa kupata hata maji, hivi ni nini kinamfanya afikirie kwamba anahitajika tena? Kwa sasa Wazimbabwe wanakufa kwa kipindupindu na njaa, lakini mheshimiwa bado anadhani yeye na uongozi wake sio tatizo ila ni wapinzani. Hawa ndio viongozi wetu Afrika! Je kweli tutafika?
No comments:
Post a Comment