HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, November 10, 2008
Omar Bin Laden, mtoto wa Osama Bin Laden ambae hivi karibuni alifukuzwa nchini Misri ambako alikwenda baada ya maombi yake ya uhamiaji kukataliwa na Spain. Habari za kuaminika zinaeleza kwamba baada ya kukataliwa na Misri, nchi ya Qatar ilikubali kumpokea kijana huyu.
No comments:
Post a Comment