HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, November 24, 2008
Wakati ukifika wa mwana kuondoka kwa wazazi wake na kukabidhiwa ukweni, huwa ni siku ya vifijo na huzuni ndani yake. Ni taratibu zetu za ndoa, na ndoa humjumuisha mwana dada na mwana kaka na si vinginevyo. Hivyo basi, ni sahihi tukaulinda "Utamaduni" wetu ili nasi tusije kufika mahala eti ikabidi tuandamane ili kutaka kubadili taratibu halali za kitu kinachoitwa "Ndoa".
No comments:
Post a Comment