HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, December 10, 2008
Tanzania tunayo haki ya kujivunia kwa kuwa na kiongozi wa ngazi ya juu kwenye Umoja wa Mataifa, Mama Asha Rose Migiro(Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa) ni ishara sahihi ya kuheshimika kwetu katika jamii ya Kimataifa, na hii inatokana na amani na umoja na msimamo wetu katika masuala mbali mbali Duniani. Tanzania imetimiza umri wa miaka 47 tokea tupate uhuru na mwelekeo wetu katika kuendeleza umoja na amani bado uko katika hali nzuri. Pongezi kwa viongozi wetu na Watanzania wote kwa ujumla.
No comments:
Post a Comment