HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, January 15, 2009
Haya ndio makao makuu ya Microsoft yaliopo kwenye jimbo la Washington. Kuna fununu kuwa wiki ijayo Microsoft itatangaza kupungunguza baadhi ya wafanyakazi wake kutokana na hali mbaya ya kiuchumi inayoendelea dunia nzima kwa sasa.
No comments:
Post a Comment