HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Friday, January 30, 2009
Inafurahisha kusikia kuwa Wakongo wanapiga hatua ya kuwa na amani nchini mwao. Jana majeshi yaliyokuwa yakipingana na serikari yaliunganishwa na majeshi ya serikali na kitendo hicho kilifanyika kwa wapinzani hao kuvishwa magwanda ya jeshi la Kongo na kukaribishwa kwa furaha kama inavyoonekana kwenye picha.
No comments:
Post a Comment