HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, January 14, 2009
Mwanadada Beyonce Knowles atakuwa ni mmojawapo wa wanamuziki mashuhuri watakao tumbuiza wakati wa sherehe za kuapishwa kwa Barack Obama.
Ombi langu kwa Beyonce: Dada tafadhali naomba utuvalie nguo za kiheshima ukienda kutumbuiza huko White house ama sivyo nitakuvisha khanga mimi mwenyewe maana nitakuwepo na darubini yangu nikikuangalia
Ombi langu kwa Beyonce: Dada tafadhali naomba utuvalie nguo za kiheshima ukienda kutumbuiza huko White house ama sivyo nitakuvisha khanga mimi mwenyewe maana nitakuwepo na darubini yangu nikikuangalia
ReplyDelete