HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Saturday, January 24, 2009
Wakati dunia inaonyeshwa picha hii, tulikuwa na matumaini kwamba kwa sasa Zimbabwe mambo yana muelekeo...kumbe!! Uhakika zaidi wa hali ilivyo kwa sasa unaonekana katika picha hii. Sura ya ndugu Mugabe ukiilinganisha na wengine katika picha ni ya unafiki mtupu. "I think he was just playing games."
No comments:
Post a Comment