HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, January 28, 2009
Watani wetu wajadi waliuchukulia ushindi wa Rais Barack Obama kwa kishindo mno. Mara baada ya ushindi huo wa kihistoria siku hiyo ya Novemba 4, wenzetu waliamua kutengeneza kinywaji cha bia walichokiita "President" kwa kumpa heshima Bw. Obama. Pichani juu jamaa anaonekana akiwa katika hatua ya mwisho kabla ya usambazaji.
No comments:
Post a Comment