HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, February 26, 2009
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Bam Ki-Moon, amewasili leo katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere kwa ziara ya siku mbili nchini Tanzania. Pichani linaonekana dege lililomleta, na watanzania waliojitokeza kumpokea na baadae kukwagua gwaride la heshima akiwa na Waziri Membe. Vile vile alifanya mazungumzo na mwenyeji wake( Rais Kikwete) pale Ikulu.
No comments:
Post a Comment