HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, February 25, 2009
Leo wakali wa Zambia na Senegal walichuana vikali katika mechi zinazoendelea za African Nations Football Championships katika uwanja wa Felix Houphonet Boigny na kutoka 0-0. Pichani Sdy Ndiaye(kushoto) wa Senegal na Given Singuluna wa Zambia wakiwania mpira.
No comments:
Post a Comment