HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Sunday, February 15, 2009
Mtu ambaye anasadikiwa kuwa ni mfupi kuliko mtu mwingine yeyote Duniani ni bwana Pingping wa China, ambaye ana umri wa miaka ishirini na ana urefu wa futi mbili na inchi tano. Kwa sasa bwana Pingping ndiye anayeshikilia tagi la mtu mfupi Duniani. Pichani juu anaonekana akiojiwa na waandishi wa habari Jijini Tokyo, Japan, na katikati akiwa amesimama na mtoto wa umri wa miaka mitatu, na picha ya chini amesimama kwenye sanamu ya aliyekuwa mtu mrefu kuliko wote Duniani.
No comments:
Post a Comment