HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Friday, February 27, 2009
Rais wa zamani wa Malawi Bakili Muluzi pichani juu (katika picha ya mwaka 2002), anatarajiwa kushitakiwa kwa mashitaka 86 ya madai ya wizi wa Dola Millioni 12 za pesa ya misaada kwa ajili ya nchi yake wakati akiwa madarakani. Sakata hili siajabu likamletea utata mkubwa kuhusu mpango wake wa kuwania tena Urais katika uchaguzi unaokuja wa mwezi wa Tano mwaka huu.
No comments:
Post a Comment