HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Friday, February 20, 2009
Tiketi za kuangalia Kombe la Dunia zimeanza kuuzwa Ijumaa na wakati huo huo ujenzi na matayarisho ya mashindano hayo makubwa ya mpira wa miguu Duniani bado yanaendelea. Ikumbukwe kuwa hii ni mara ya kwanza kwa nchi ya Kiafrika kupewa heshima ya kuyaandaa mashindano haya, hivyo ni muhimu kwa nchi zitakazoshiriki toka Afrika kuwakilisha vizuri na kuliacha kombe Barani Afrika.
No comments:
Post a Comment