HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, March 25, 2009
Jumba la ghorofa 11 limeanguka katika kitongoji cha Idi-Araba Jijini Lagos Nigeria na kukadiriwa kuleta maafa ya vifo vya watu 11 mpaka kufikia sasa. Wengi wa marehemu inasemekana ni watoto wadogo. Chanzo cha kuporomoka kwa jumba hilo mpaka sasa hakijajulikana lakini uenda ikawa ni ujenzi hafifu.
No comments:
Post a Comment