HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Saturday, March 21, 2009
Raisi wa Rwanda, Paul Kagame ameliambia Bara la Afrika kuacha mara moja kutegemea misaada kutoka nje na kuanza kutumia mali-asili zinazopatikana kwa wingi Barani Afrika kwa kuleta maendeleo. Aliyasema hayo wakati alimpomtembelea Mzee Mandela huko Afrika ya Kusini siku ya Ijumaa.
No comments:
Post a Comment