HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, April 20, 2009
Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati wa yale mashindano ya mbio za Boston Marathon yalifanyika leo na Deriba Merga wa Ethiopia kuibuka mshindi kwa upande wa wanaume na Salina Kobgei wa Kenya kwa upande wa wanawake. Salina alichuana vikali sana na Dire Tune wa Ethiopia mpaka sekunde za mwisho.
No comments:
Post a Comment