HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, April 27, 2009
Watu wetu walio wengi bado wanaishi katika vijumba kama hiki pichani, wakati huo huo wawakilishi wao(Waheshimiwa Wabunge) wanaagiziwa magari ya gharama. Mategemeo ya wengi ni kwamba baada ya Uhuru wa mwaka1961 hadi kufikia wa leo(2009), nchi yetu ingekuwa imepiga hatua kubwa, na mojawapo ni kusaidia kuwapatia makazi bora wananchi wake, haswa haswa huko vijijini.
No comments:
Post a Comment