HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Friday, May 22, 2009
Raisi Bingu wa Mutharika leo siku ya Ijumaa ameapishwa tena kuwa raisi wa Malawi kwa kipindi kingine katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu mjini Blantyre. Ameahidi kuendeleza jitihada zake katika kuinua uchumi wa Malawi na kusaidia masikini.
No comments:
Post a Comment