HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, July 27, 2009
Kwa ndugu zangu mlio nje ya nchi yetu tukufu kwa kipindi kirefu ni vizuri tukakumbushana jinsi fedha yetu ya madafu inavyofanana. Kwani kuanzia uhuru mpaka wa leo imeshabadilishwa mara nyingi tu, na si ajabu siku utakayoamua kurudi ukakutana na mjanja atakayetaka kukubambiza na zile zisizotumika tena.
No comments:
Post a Comment