Monday, July 27, 2009







Kwa ndugu zangu mlio nje ya nchi yetu tukufu kwa kipindi kirefu ni vizuri tukakumbushana jinsi fedha yetu ya madafu inavyofanana. Kwani kuanzia uhuru mpaka wa leo imeshabadilishwa mara nyingi tu, na si ajabu siku utakayoamua kurudi ukakutana na mjanja atakayetaka kukubambiza na zile zisizotumika tena.



No comments:

Post a Comment