HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, September 30, 2009
Kule kwetu Tanga hivi vimgahawa viko kibao na uwa na chakula kizuri sana. Hapa utapata wali wa nazi na mandondo(maaragwe) na samaki wa kukaanga kwa bei poa kabisa, lakini tatizo ni kuhusu suala nzima la kiafya. Na sidhani kwamba hawa kina mama ntilie wanakuwa na leseni na hivyo hata suala la kuwakagua linakuwa halipo kabisa.
Mungu anawalinda amasivyo wangehara sana.
ReplyDelete