HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, September 24, 2009
MZIGO KICHWANI!
Kwa kina mama wa Kiafrika, kubeba mzigo kichwani ni kitu cha kawaida kabisa na ni mojawapo ya utamaduni uliotanda Afrika yote. Sina uhakika ni matokeo ya baadae baada ya kuwa wanabeba hii mizigo kwa kipindi kirefu. Je! kuna madhara yeyote yanayotokana na zoezi hili kwa afya za hawa kina mama? Wataalamu mnatuambiaje kwenye hili?
No comments:
Post a Comment