HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Saturday, September 26, 2009
Nchini Indonesia amezaliwa mtoto ambaye anasadikiwa kuwa mzito kuliko mtoto yeyote kwa kuzaliwa duniani. Mtoto huyu ambaye alizaliwa tarehe 21 Septemba kwa kutumia njia ya upasuaji, ana uzito wa paundi 19.2(kilo 8.7), na urefu wa sentimeta 62(inchi 24.4). Picha ya chini, anaonekana akiwa na mtoto mwenzake mwenye uzito wa kawaida.
No comments:
Post a Comment