HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, October 29, 2009
Wananchi wa Msumbiji jana (28/10/2009) walipiga kura katika uchaguzi mkuu wa pili toka uhuru, na hali ilivyo ni kwambai raisi wa sasa Armando Emilio Guebuza anategemewa kushinda tena na kuendelea kuwa madarakani. Upinzani mkubwa ni kati ya chama tawala cha Frelimo na Kile cha upinzani Renamo.
No comments:
Post a Comment