HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Tuesday, November 24, 2009
Hii ilikuwa ni mara yangu ya mwisho naonana na ndugu zangu wapenda Ramadhani na Kasimu kabla hawajatutoka. Inshallah Mwenyezi Mungu atawafariji na kuwalaza pema peponi. Ramadhani alitutangulia mbele za haki mwaka 2004, na bwana Kasimu 2005. Kutoka kushoto: Kasimu, mama, mimi na Ramadhani.
No comments:
Post a Comment