HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, January 11, 2010
Katika miaka ya nyuma kabda hajaamua kufuata Bwana Yesu, Dr. Remmy Ongala alitufurahisha na kipaji chake katika kupangilia nyimbo za musiki wa dansi ulioleta burudani la hali ya juu sana. Wengi bado tunavikumbuka sana vibao vingi alivyovitoa huyu bwana, vingi vikigusia maisha ya kila siku ya Mtanzania. Asante sana Dr. Remmy na hongera nyingi katika maisha yako mapya ya kiroho!!
No comments:
Post a Comment