Sunday, March 25, 2012

FROLA MBASHA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA TANZANIA ATUA MAREKANI.

Mhe. Balozi Mwanaidi Maajar (kushoto) akipiga picha ya pamoja na mwimbaji wa nyimbo za injili Flora Mbasha alipotembelea Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani uliopo Washington, DC.

Frola Mbasha akiwa katika Studio za VOA akifanya maojiana na watangazaji wa Studio hizo.
Frola akiwa na baba mwenye nyumba wake Bwana Mbasha Nje ya Jengo la Ubalozi wa Tanzania DC.

No comments:

Post a Comment