HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, April 30, 2012
RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIWETE AWASILI TANGA TAYARI KWA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA MEI MOSI ZITAKAZO FANYA TANGA KITAIFA MWAKA HUU HAPO KESHO NA YEYE MH RAIS AKIWA MGENI RASMI.
Hapa Mh Rais akisalimiana na watu walio jitokeza uwanjani hapo kuja kumpokea, kama unavyomona kati ya watu hao ni viongozi wa CUF chama cha upinzani kwa kuonesha upendo na Amani tuliyo jijengea Watanzania bila kujari Dini Siasa wote ni kitu kimoja.
Wadada wa kanisa nao awakubaki njuma kuonesha upendo wao kwa Mh Rais. Kama unavyo ona wakisalimia nae.
No comments:
Post a Comment