Rais Baraka Obama akimfariji mmoja kati ya wahasirika wa hurricane sandy kwa kumpa warm hug katika ziara yake ya kutembelea maheneo yaliyo hasirika na hurricane sandy Uko New Jersey.
Hapa Rais Baraka Obama akiwa na Gov wa New Jersey Chris Christie punde tu baada ya kuwasiri uko New Jersey
Nyumba zilizo hasirika na hurricane uko New Jersey zimebakiwa tupu baada ya watu waliokuwa wanahishi umo ndani kukimbia makazi yao na kuziacha nyumba na mali zao ndani.
Daraja likiwa hoi bin taabani baada ya kuzidiwa na maji ya hurricane sandy na kusababisha mawasiria ya pande hizo mbili kuwa utata
Rais Baraka Obama akizungukia maheneo yaliyo kumbwa na dharuba hilo la hurricane kwa kutumia ndege ya kijeshi, hili kujionea maheneo yote yaliasirika na kutoa pole kwa wananchi wa maheneo hayo.
No comments:
Post a Comment