Monday, July 8, 2013

SHEREHE YA VIJIMAMBO YA KUTIMIZA MIAKA 3 YAWA YA HISTORIA DC WASHNGINTON

MHE. ALI HASSAN MWINYI, MASANJA, SHILOLE WATIA FORA TAMASHA LA UTAMADAUNI WA KISWAHILI MAREKANI



Dj Luke akiambatana na mgeni wake Mhe. Ali Hassan Mwinyi kuelekea ukumbini kulikofanyika Tamasha la Utamaduni wa kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo Jumamosi July 6, 2013 na kuwa tamasha la kihistoria lililohudhuriwa na Watanzania wakiwemo wadau wanaozungumuza Kiswahili wapatao 600 kutoka kila kona hapa Marekani, Ulaya na Tanzania.
Kutoka kushoto ni Dj Luke, Mhe, Ali Hassan Mwinyi, Mhe. Ramadhan Muombwa Mwinyi, Mama Lily Munanka, Idd Sandaly na Baraka Daudi katika picha ya pamoja wakati wakiingia ukumbini.
Watoto wa darasa la Kiswahili DMV wakiimba wimbo wa Taifa.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi akiongea machache kabla ya kumkaribisha Dj Luke.
Dj Luke akisoma hotuba yake kabla ya kumkaribisha Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka.
Kaimu Balozi Mama Lily Munanka akishukuru kamati ya maandalizi na kumkaribisha mgeni rasmi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akihutubia mamia ya Watanzania waliofika kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na kulifungua rasmi.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York, Bwn. Haji akisoma shairi alilotunga maalum kwa ajili ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa kiswahili Marekani.
Shilole na Masanja mkandamizaji wakikandamiza na kugaragaza kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na miaka 3 ya sherehe ya Vijimambo.
Shilole(mwenye gauni la punda milia) akimnyanyua Afisa Ubalozi Mindi Kasiga kwenye moja ya nyimbo zake alizotumbuiza kwenye tamasha hilo.
Mhe. Ali Hassan Mwnyi akiaga na kuelekea kwenye gari lililomleta tayari kwa kuondoka baada ya kumaliza sehemu ya kwanza ya tamasha hilo na sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo.
Mhe. Ali Hassan Mwinyi akiwa tayari kuondoka.
kwa picha zaidi bofya read more.





4 comments:

  1. It's in fact very complicated in this active life to listen news on TV, thus I just use world wide web for that purpose, and obtain the hottest news.

    Have a look at my blog; Magic submitter

    ReplyDelete
  2. Hey! Someone in my Myspace group shared this site with us so I came
    to check іt out. I'm definitely enjoying the information. I'm boоkmarking
    and wіll be tweeting this to my followers!
    Terrific blog and superb design.

    Here is my pagе :: 24 hour Plumbers Solihull

    ReplyDelete
  3. Please let me knoω іf you're looking for a author for your site. You have some really good articles and I feel I would be a good asset. If you ever want to take some of the load off, I'd really like to writе
    some materіal for your blog in exсhange for a link bаck to mine.
    Plеaѕe shoot me an emаil if inteгеsted.

    Thanκѕ!

    Fеel free to surf to my website creare un sito web creare un sito web fare un sito

    ReplyDelete
  4. mаgnіficent submіt, vеry informаtiνe.
    I pοnder why the other specialists of this seсtoг ԁon't notice this. You must proceed your writing. I am sure, you have a huge readers' base
    alгeаdу!

    Here іs my webpage; diseño web

    ReplyDelete