HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Monday, September 23, 2013
DR SLAA AKIUNGURUMA NDANI YA DMV
Mizaa kuu ya viongozi wa Chadema tawi la DMV wakimsikiliza kiongozi wao alivyo kuwa anakosoa makosa ya chama tawala Tanzania CCM.
Dr Slaa akiongea kwenye mkutano wa wanachama wa Chadema katika jiji la Maryland....
Watanzania wa DMV wakimsikiliza kiongozi wa chama cha upinzani Chadema kwenye mkutano huo.
Juu na chini Watanzania wakimuuliza maswali Mh Dr Slaa kwenye mkutano huo
No comments:
Post a Comment