Saturday, February 13, 2010

Mbali na umaarufu wa Soka, lakini Brazil ujulikana sana kwa sherehe zake za Carnival ambazo kwa mwaka huu zimeanza kuanzia tarehe 12 Februari mpaka tarehe 16 Februari. Pichani ni jijini Sao Paulo wakiwa kwenye pilikapilika hizo za Carnival.

Friday, February 12, 2010

DUNIA NZIMA TUNAKUMBUKA NA KUSHEHEREKEA MIAKA 20 YA SIKU MPENDWA MZEE WETU NELSON "MADIBA" MANDELA ALIPOACHIWA HURU BAADA YA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIAKA 27 KWA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI AFRIKA YA KUSINI. ASANTE SANA MZEE MANDELA NA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI!!!!








Shujaa na mwana wa kweli wa Afrika.... Watu wa namna yake wako wachache sana Duniani!

Former President Bill Clinton, who had quadruple bypass surgery more than five years ago, was hospitalized Thursday to have a clogged heart artery opened after suffering discomfort in his chest.
Habari zaidi ni kwamba anaendelea vizuri na anategemea kutoka hosipitali pengine leo.

Thursday, February 11, 2010





Jana Polisi walitoa picha mpya zilizopigwa toka angani zinazoonyesha jinsi livyokuwa wakati wa maafa ya Septemba 11.







Kiwinta cha nguvu ilibidi shughuli nyingi jana zisimame vikiwemo usafiri wa anga, mashule, n.k.




Sunday, February 7, 2010





"Dada yetu Janet" Umaarufu tayari anao lakini bado anaona haja ya kuuongeza kwa kutumia kizutio cha mwili wake! Wengi tunajiuliza... hivi kweli hii ni lazima?




Tuesday, February 2, 2010





Mtu mrefu na mfupi kuliko wote Duniani wakutana! Kweli Duniani tumeumbwa tofauti...







"Another Gadget so we can go crazy"
what's next, iped?


Monday, February 1, 2010

EGYPT BEATS GHANA 1-0 TO EARN AFRICAN CUP TITLE





Egypt won the African Cup of Nations for the third straight time Sunday after substitute Mohamed Gedo scored in the 85th minute for a 1-0 victory over Ghana






US tennis player Serena Williams celebrates her victory. The American beat Belgium's Justine Henin in a classic women's final 6-4, 3-6, 6-2 to win her fifth Australian Open title and move alongside Billie-Jean King on 12 Grand Slam singles successes.