Tuesday, January 11, 2011

Mr. B. na familia yake!

Bendi maarufu ya mziki wa dansi "Ngoma Africa band" aka FFU yenye makao yake nchini ujerumani, Imeuhakikishia ulimwengu kwa mara nyingine kuwa "Bongo dansi" kutoka bongo tambarale ni fyagio la
kimataifa.Baada ya bendi hiyo na "Mzimu wake wa dansi" kutingisha jukwaa la maoenesho ya kimataifa
ya "Kunstendorf Film and music festival" yaliofanyika nchini Serbia kuanzia januari 5 hadi 10.

Kiongozi wa bendi hiyo Ras Makunja aka kamanda wa FFU,alikiongoza kikosi chake jukwaani siku 7 januari 2011 majira ya saa 6.00 usiku na kuanza kuungurumisha mdundo wa "Bongo Dance",ilichukua takribani dakika chache tu mziki huo kutua katika masikio ya washabiki na hapo ndipo palipoanza kulipuka mshike mshike wa nguo kuchanika! washabiki walijikuta wamepagawa akili,na kujimwaga uwanjani.baadhi ya watu walio udhuria walikuwemo viongozi wa ngazi za juu wa serbia,nao walijukuta wameachia viti vya VIP na kujikuta wamejinganya kisawa sawa!walinzi wa vigogo hao walijikuta wana kazi kubwa ya ziada!

Onyesho hilo lilikuwa likirushwa hewani moja kwa moja na TV za
Poland,Serbia,Montenegro,St.Petersburg,Bosnia,Croatia,pia TV hizo zilimuhoji Ras makunja,ambaye alikubali mihaliko mingine ya kutumbuiza nchini Poland,Serbia,Bosnia,Croatia na St.Petersburg,Urusi.

Vianzo vya habari vya nchi hizo zimemtaja Ras Makunja na mzimu wake Ngoma Africa band,kuwa mziki wao ni mdundo wa aina yake na unachezeka,CD za bendi hiyo zimeshaanza kupigwa katika vituo vya redio za nchi hizo.

Katika maonyesho hayo wanamziki wa ngoma africa band walikuwa wakilimudu jukwaa na kushambulia kama vile hawana akili nzuri,mpiga solo Chris-B aka "Mshenzi" alikuwa akifinya solo gitaa lake...na uku dansa wa ffu Dada Bedi La Bella Bella akienda sambamba na Ras Makunja kuhakikisha kuwa washabiki wanatolewa Knock Out.

Ras Makunja na bendi yake imekuwa ndio bendi ya kwanza ya kiafrika kutumbuiza nchini humo toka vita vimalizike,na washabiki wameukubali mziki wa Bongo Dance kutoka Bongo Tambarale kuwa ni moto wa nyikani.....

wasikilize ffu at www.reverbnation.com/ngomaafricaband



Tuesday, January 4, 2011

Man United takes 3-point lead by beating Stoke

 Manchester United's Javier Hernandez after scoring against Stoke during their English Premier League.


Javier Hernandez and Nani set each other up for goals as Manchester United beat Stoke 2-1 Tuesday night to take a three-point lead in the Premier League.

Hernandez put United ahead in the 27th minute with a back flick, his ninth goal of the season. After Dean Whitehead tied the score with the header in the 50th — Stoke's first goal at Old Trafford since 1980 — Chicharito fed Nani for the winner in the 62nd.

United (12-0-8) has 44 points, followed by Manchester City (12-4-5), which plays Wednesday at third-place Arsenal (12-5-3).

New York Knicks wawalaza hoi Spurs 128 kwa 115!




Ronaldinho atoka Ac Milan na kujiunga na Gremio ya Brazil!

Former twice world player of the year Ronaldinho, seen here in 2010, has signed a deal to join Brazilians Gremio from AC Milan, according to the Gazzetta dello Sport on Tuesday.



Friday, December 31, 2010

Boney M frontman Bobby Farrel dies


Bobby Farrell, singer and dancer with 1970's disco group Boney M, performs during a tv show in Huerth near Cologne, western Germany, in 2009. Farrell,a seventies disco icon, has died aged 61 in a Russian hotel room while on tour, his agent and investigators said.

Wednesday, December 29, 2010

...Ujuana kwa vilemba!!

Jamaa waliowasaliti kwa saluti....
ClubSerengeti & Mao Productions

New Years Eve & New Years Day Parties

Fri & Sat

@ Alamo

166 Gramatan Ave.,
Mt. Vernon, NY 10550

9pm till 4am
NO COVER CHARGE

Tuesday, December 28, 2010

Rampant Arsenal leave Chelsea in tatters



Arsenal kept the pressure on Premier League leaders Manchester United and delivered a hammer blow to Chelsea's hopes of retaining the title with a 3-1 victory over the struggling champions.

Arsene Wenger's side had repeatedly failed to produce the goods in crunch matches against their London rivals, but they finally rose to the occasion as goals from Alex Song, Cesc Fabregas and Theo Walcott gave them a vital victory at the Emirates Stadium.

Branislav Ivanovic got one back for Chelsea but the damage had already been done and Blues boss Carlo Ancelotti could face a fight to save his job after his team's sixth league game without a win.

Arsenal's triumph - their first in 12 games against Chelsea and United - lifted them back into second place and within two points of the leaders.

In contrast, Chelsea's title hopes are close to being extinguished. They are six points behind United, who have a game in hand, and even a place in the top four can't be taken for granted on this woeful form.

Although Ancelotti's team had taken just six points from their last seven matches, the club's worst run since 1998, they should have been able to draw inspiration from their dominance over Arsenal in recent years.

Didier Drogba threatened early on when he latched onto Frank Lampard's pass and smashed his shot just wide.

The Gunners looked hamstrung by nerves during a tame 1-0 defeat against United in their last match and Wenger knew they needed a more dynamic performance this time.

Wenger's players rose to the challenge in impressive fashion and controlled possession right from the start.

Samir Nasri brought Chelsea goalkeeper Petr Cech into action for the first time with a long-range free-kick.

Wenger's side kept probing and Robin van Persie blazed over before Cech plunged at Walcott's feet to block the winger's shot.

It took an even better save from Cech to keep Chelsea on level terms when he stretched every sinew to tip over Nasri's deft chip.

Arsenal's pressure finally told in the 44th minute as Song surged into the penalty area after playing a one-two with Jack Wilshere.

The ball broke towards Fabregas and, as the Arsenal captain collided with Paulo Ferreira, Cameroon midfielder Song seized his chance and drove a low shot past Cech.

Lampard's presence in the Chelsea starting line-up for the first time in four months after hernia and groin injuries was supposed to inspire the Blues, but the England midfielder was well off the pace.

If Ancelotti read the riot act at half-time, he must have been sorely disappointed with the response from his lacklustre stars.

In the space of 90 seconds, two sloppy pieces of Chelsea defending presented Arsenal with the goals that put the result beyond doubt.

First, Michael Essien's 51st minute tackle on Fabregas sent the ball into Walcott's path.

Walcott was then granted too much space by former Arsenal defender Ashley Cole and he was able to sprint clear before sliding a pass to Fabregas, who stroked his shot past Cech.

Arsenal were rampant now and, with Chelsea looking more shambolic by the second, Walcott took full advantage as he caught Florent Malouda in possession and flicked a pass to Fabregas.

The Spaniard's return ball put Walcott through on goal and he drove a fine finish into the far corner of Cech's net, prompting a furious response from Drogba, who argued with team-mate John Terry before the restart.

Even when Ivanovic reduced the deficit by heading Drogba's free-kick home in the 57th minute, there was little realistic hope of a Chelsea comeback as Arsenal cruised to their most important win of the season.



Arsenal's English striker Theo Walcott (R) vies with Chelsea's Czech goalkeeper Petr Cech during their English Premier League football match against Chelsea at the Emirates Stadium, London, on December 27, 2010

Miaka yote yeye alidhani Congo ilikuwa mali yake na itaendelea kuwa hivyo milele na milele. Sijui kwa nini kina Mugabe,  Musevenyi na wengine wanaoendelea kutaka kuwa madarakani hata kama muda umepita hawapati hili fundisho.  Nadhani ni Afrika pekee bado tuna hili tatizo la hawa watawala wasiojua demokrasia maana yake ni nini...
THE OBAMAS MAPUMZIKO HAWAII






Monday, December 27, 2010

Huyu ndiye mama aliyemzalia watoto marehemu Michael Jackson!
Mwanzilishi wa PlayBoy Hugh Hefner ambaye ana umri wa miaka 84, amemchumbia msichana Crystal Harris(kulia) ambaye ana umri wa miaka 24. Hii itakuwa ndoa nambari tatu kwa bwana Hefner.
Ipi ni bora? Fikiria bei ya mafuta, zoezi la bure na bila kusahau uchafuzi wa mazingira...

SNOW BLIZZARD HAMMERED NEW YORK AND MUCH OF THE NORTHEAST







Friday, December 24, 2010

Hivi huyu ndugu Musevenyi ni lini atasema basi kama walivyo wenzie? Jamaa anashikilia nafasi ya 19 kwa maraisi matajiri duniani lakini bado hatosheki!! Waganda inawabidi muondokane na hawa watawala waliopitwa na wakati kwani ndio kipingamizi cha maendeleo ya kweli Afrika ya Mashariki.