HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Tuesday, December 2, 2008
Baada ya wiki moja ya kupajua rumande kukoje hatimaye Yona na Mramba wakubaliwa dhamana ya karibu shilingi billioni 2.9 kila mmoja. Yanayotokea nchini mwetu yanatuonyesha kwamba huu ni mwanzo na mengi yanafuata. Siku itafika kwa sheria na haki kuwa ni mambo ya kawaida Tanzania. Ole wenu kwa mliodhani kwamba sheria za nchi hazitawagusa.
No comments:
Post a Comment