HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, December 3, 2008
Mwalimu Nyerere akiwa na Bibi Titi Mohamed ( mwasiasa mwanamke wa mwanzo ), kwenye mkutano wa TANU katika viwanja vya Jangwani. Hii inaonyesha jinsi gani kina mama wetu tayari walikuwa mstari wa mbele kisiasa, na kama sikukosea kwa nchi kama Marekani kina mama walikuwa bado si ruksa kupiga kura achilia mbali kuwa viongozi.
No comments:
Post a Comment