HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Sunday, December 14, 2008
Katika kipindi cha miaka ya nyuma(1970's na 1980's), Tanzania tulikuwa tunalisakata kandanda kiuhakika sana na wengi wa wachezaji wetu walicheza kwa viwango vya juu sana. Ni nini kimetokea baada ya hapo ni swali ambalo wengi bado tunajiuliza. Pichani ni baadhi ya hao mashujaa wetu enzi hizo.
No comments:
Post a Comment