HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, January 29, 2009
Baada ya wakuu wa SADC kukutana huko Afrika ya Kusini hivi majuzi ili kujaribu tena kutaka kufikia muafaka kuhusu kuchangia madaraka nchini Zimbabwe, nasikia eti hakukuwa na mafanikio na Jongwe bado ni Jongwe. Maoni ya walio wengi ni kwamba hawa ndugu zetu wa Afrika ya Kusini huenda ikawa ndio wanaompa kichwa ngumu huyu mzee. Tazama Rais Kgalema Motlanthe na mwenzake walivyoshikana mikono...
No comments:
Post a Comment