HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, January 29, 2009
Mchezaji nyota wa zamani wa Argentina, Diego Maradona, ambaye kwa sasa ni kocha wa timu ya Taifa ya nchi hiyo akionyesha umaarufu wake katika kulisakata kandanda wakati wa kampeni mojawapo ya kutaka Rais Hugo Chavez wa Venezuela aendelee kugombea Urais hata kama kipindi chake kimekwisha.
No comments:
Post a Comment