HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Sunday, March 29, 2009
Mwanamusiki Madonna amewasili nchini Malawi tayari kuchukua mtoto mwingine aitwaye Mercy James mwenye umri wa miaka 4. Tayari Madonna alishachukua mtoto aitwaye David Banda mwaka 2006. Madonna ana mpango wa kujenga shule katika kijiji cha Chinkhota. Picha juu zinaonyesha matukio mbali mbali wakati alipowasili nchini Malawi.
No comments:
Post a Comment