HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Wednesday, April 1, 2009
Hukumu imetolewa kwa watu watatu ambao wanasadikiwa kuhusika na mauaji ya mwanamusiki wa Kimataifa wa musiki wa ragga toka Afrika ya Kusini bwana Lucky Dube. Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Senu Moshindi wa Mahakama Kuu huko South Ganteng jijini Johannesburg. Pichani wahutumiwa hao toka kushoto ni: Sifiso Mhlanga, Julio Shirindza na Mbuti Mabe.
No comments:
Post a Comment