HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, April 23, 2009
Mgombea wa ANC, bwana Jacob Zuma akipiga kura yake katika kijiji cha Nkandla, kusini mwa Jiji la Durban jana. Mazungumzo yaliyopo kwa sasa ni kwamba endapo bwana Zuma atashinda uchaguzi huu, je! ni nani kati ya wake zake atakuwa mama wa kwanza(First Lady) ?
No comments:
Post a Comment