HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Thursday, April 23, 2009
Wananchi wengi wamejitokeza kwa wingi katika uchaguzi mkuu huko Afrika ya Kusini jana kupiga kura zao ili kumchagua nani aliongoze Taifa hili kubwa Barani Afrika. Walio wengi wanamtegemea mgombea wa ANC bwana Jacob Zuma kuwa ndiye atakayetokea kuwa mshindi.
No comments:
Post a Comment