HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Friday, May 29, 2009
Jana katika pita pita yangu pale Manhattan, nilikumbana na hii sehemu hapo juu inayouza vinywaji baridi. Ingawa kulikuwa na manyunyu ya mvua na nikiwa naendesha ilibidi nichukue snap ya jina ya hii sehemu. Iko katikati ya 5th na 6th Avenue kwenye barabara ya 42nd. Nitajitahidi kurudi tena kudadisi kuhusu maana ya hilo jina.
No comments:
Post a Comment