HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Tuesday, January 26, 2010
Hawa jamaa toka Congo, Freddy Ndala Kasheba(marehemu) na Kikumbi Mwanza Mpango "King Kiki" ni lazima waingie kwenye vitabu vya historia ya musiki wa dansi nchini Tanzania kama mojawapo wa wakongwe wa musiki nchini mwetu. Mchango wao mkubwa kwenye fani ya musiki wa Kitanzania kamwe hautasahaulika!
No comments:
Post a Comment