HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Ingawa ana miaka saba tuu, lakini binti huyu anaonyesha umaarufu mkubwa asimamapo mbele ya kamera. Amezaliwa Septemba 2nd, 2001 Jiji New York na kwa sasa yuko darasa la pili katika shule ya Ideal Montesori, Queens, NY.
Binti yangu Hennah Gabriella Ramadhani, akiwa katika mapozi ya nguvu katika kujitayarisha kupambana na kina Naomi na masupa modo wengine. Keep it up girl !!
Sunday, September 28, 2008
Mwanangu Hennah Gariella Ramadhani akiwa kwenye mapozi, Bryant Park, New York