HII NI BLOGU YA JAMII INAYOLENGA KATIKA KUONYESHA MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA NA VIELELEZO VYAKE VYA MAISHA YA KILA SIKU YA BINADAMU, IWE NI MIMI, WEWE, SISI, YULE AU WAO, HALI MRADI TUU TUENDELEE KUELIMISHANA NA KUPEANA HABARI SAHIHI ILI TUENDELEZE JAMII YETU.
Showing posts with label Bongo Dar es Salaam. Show all posts
Showing posts with label Bongo Dar es Salaam. Show all posts
Thursday, January 15, 2009
Wadau, hii ni sehemu gani pale Dar?
Wednesday, January 7, 2009
Dar es Salaam inavyoonekana toka angani.
Wednesday, October 15, 2008
Sehemu ya MnaziMmoja, Dar inavyoonekana kwa mbali
Saturday, September 27, 2008
Jiji letu la Dar es Salaam linazidi kukua na kupendeza.
Dar inaweza kushindana na Majiji mengine makubwa barani Afrika.
Thursday, September 25, 2008
Dar inavyoonekana tokea Baharini.
Moja ya majengo marefu Dar ni hili la Mafuta House.
Majengo ya Benki Kuu (Twin Towers)
Jiji la Dar es Salaam na mkono wa Bahari kama inavyoonekana tokea angani.