Tuesday, February 17, 2009




Kweli maisha yamebadilika!!
Zamani kwenye miaka ya sitini mpaka kufikia katikati ya miaka ya themanini noti ya Shilingi Mia Moja ndiyo ilikuwa yenyewe(ukiwa na Wamasai wawili - wikiendi safi), lakini sasa hivi lazima uwe na noti za Elfu Kumi kama sita hivi(na kwa kujibana bana), la sivyo mambo wasi wasi.

No comments:

Post a Comment