Sunday, September 30, 2012

SUNDAY SHOMARI NA ELINITA MHANDO SASA SAFIIIIIIII



 Mdau Sunday Shomari akiwa na Mai waifu wake Elinita Mhando wakati wa Ndoa yao iliyofanyika leo katika kanisa la Mt. Emmaculata,Upanga jijini Dar es Salaam.
 Maharusi Sunday Shomari na Mai Waifu wake Elinita Mhando wakivishana pete ikiwa ni ishara ya kufunga pingu za maisha mpaka Mungu atakapowatenganisha. 
 Padri akiongoza ibada ya Ndoa ya Mdau Sunday Shomari na Mai Waifu wake,Elinita Mhando mchana wa leo katika kanisa la Mt. Emmaculata,Upanga jijini Dar es Salaam.
 Ibada ya ndoa ikifanywa.
 Maharusi na Kapu la Sadaka wakati wakienda kukabidhi kwa Padri.
 Maharusi na Wapambe wao wakifuatilia Ibada ya ndoa.
 Wapambee. 
 Bw. Harusi Sunday Shomari akisoma neno la Mungu huku Mpambe wake Chacha Maginga akiwa pembeni yake.
 Sunday Shomari akiwa ni mwenye Furaha baada ya Kuchukua jumla mchana wa leo.
 Bi. Harusi Elinita Mhando na tabasamu zito.
Kwa picha zaidi bofya read more

Maharusi na Nondozz zao.
 Ndugu,jamaa na Marafiki wakiofika kanisani hapo katika ibada ya Ndoa ya Mdau Sunday Shomari na Mai waifu wake,Elinita Mhando. 
Mdau Baraka Munisi akiwa nje ya mkoko wake matata jijini Dar ambao ndio uliotumika kuwabeba maharusi.
 Maharusi katika picha ya pamoja.
 Wapambe.
 Full kupendezaaa
 Maharusi na Wapambe wao.
 Bi. Harusi na Matron wake.
 Bw. Harusi na Mpambe wake.
 Wamependezajeee...... 
 Pozzzz tofauti tofauti za Maharusi. 
 Maharuzi na Wazazi.
Maharusi na Marafiki. 
 Taswirazz zikichukuliwa.
 Maharusi wakitoka kanisani. 

NYUMBA YA EBSS 2012



huu ndio mlango wa kuingia ndani ya mjengo wenyewe, Madam Ritta anaingia hapa....


 
SHINDANO la kusaka vipaji vya uimbaji la Bongo Star Search limeanza tena, ambapo mwaka huu itakuwa na washiriki 12 na mmoja wao atakayeshinda ataibuka na kitita cha Shilingi MIlioni 50.
Kila mwaka shindano hili ninazidi kuboreshwa na kuwa na muonekano bora, safari hii shindano hilo linafahamika kama Epiq Bongo Star Search (EBSS) kutokana na kampuni ya Simu ya Zantel kuamua kuunga mkono kwa kutoa ufadhili.
Kwenye maboresho ya EBSS washiriki wote 12 watakuwa wakiishi katika nyumba moja, wakiwa ndani watafanya kazi mbalimbali pamoja na kupata mafunzo ya muziki kutoka kwa wakufunzi wenye utaalamu wa masuala ya muziki.
Jaji Mkuu wa EBSS Ritta Paulsen maarufu kama `Madame Ritta'alisema jumba hilo lenye kila kitu ndani ni moja ya alama kuu ya maboresho ya shindano hilo na kuwa la Kimataifa zaidi.
"Jumba la EBSS ni moja ya nyumba yenye ubora nchini, washiriki wataishi humo kwa muda wa wiki nane wakati kusaka msindi wetu, wakiwa ndani watafurahi, watajifunza mambo mbalimbali pamoja na kuongeza uzoefu wa kuishi kwa kujituma," alisema Ritta.
Ufunguzi wa jumba hilo ulifanyika mapema wiki hii, ambapo watu mbalimbali wakio\wemo viongozi wa Zantel walishuhudia sherehe ya uzinduzi.

ENEO ILIPO EBSS HOUSE
Jumba hilo la kifahari  lipo katika eneo la Kawe Mzimuni, imezungukwa na majumba ya kifahari pamoja na kambi ya Jeshi ya Lugalo.
Sehemu hiyo ni tulivu, kitu ambacho kinasababisha washiriki kujifunza vizuri wakiwemo ndani ya nyumba pamoja na kufanya shughuli zao kwa utulivu mkubwa.

NDANI YA NYUMBA.
Ukumbi wa mazoezi: Mara unapoingia ndani kupitia lango kuu wenye kunakshiwa na marembo ya Kizanzibar, utakumbana na chumba kikubwa, ambapo hapo ndipo sehemu maalum ya kufanyia mazoezi ya uimbaji.
Kwenye chumba hicho kuna vyombo mbalimbali vya muziki vitakavyotumiwa na washiriki wakati mazoezi yao ya vitendo.

Dadasa: Kwa upande wa kushoto ndani ya jumba hilo kuna chumba kidogo chenye viti pamoja na ubao. Kwa mujibu wa Muandaaji wa Shindano hilo Ritta paulsen chumba hicho kitatumika kama darasa, washiriki watapewa mafunzo mbalimbali ya jinsi ya kutumia toni za muziki kwa nadharia.

Jiko: Upande wa mbele kabisa kuna chumba maalum kwa ajili ya kupikia, humo kuna vifaa vyote vya mazuala ya upishi, hivyo itakuwa rahisi kwa washiriki wenyewe kupika chakula wanachotaka endapo hawatapenda kula vile wanavyopikiwa na wapishi maalum waliokuwemo ndani ya nyumba.

Vyumba vya kulala washiriki: Katika shindano hilo kunakuwa na mtu ambaye anaitwa Mkuu wa nyumba, huyu ni mshiriki ambaye ameshinda kutokana na kufanya jitiahada kubwa katika kazi zake na hukabidhiwa kazi ya kuwaongoza wenzake. Safari hii Mkuu wa nyumba atakuwa na chumba chake cha kulala chenye kila kitu ndani yake, hivyo anaweza kujifanyia shughuli zake hata akiwa ndani ya chumba chake. Kwa upande wa washiriki kuna chumba kikubwa chenye vitanda vitakavyowatosheleza kulala washiriki wote.

Vitu Vingine: Baadhi ya vitu vingine vilivyokuwemo kwenye nyumba hiyo ni pamoja na bwawa la kuogelea, chumba cha kulia chakula, sehemu ya kupumzikia pamoja na bustani nzuri ya kufanyia mazongezi.

Washiriki waliofanikiwa kuingia ndani ya nyumba hiyo ni Godfrey Kato, Husna Nassoro, Linias Mhaya, Menynah Atiki, Norman Severina, Nsami Nkwabi, Nshoma Ng'hangasamala, Salma Mahin, Vicent Mushi, Wababa Mtuka na walter Chilambo.

Friday, September 28, 2012

NDEGE YA UA WATU 19



No survivors: Onlookers watch on helplessly around the blazing plane which crashed on the edge of the Nepalese capital, killing 19 people including seven Britons Onlookers watch on helplessly around the blazing plane which crashed on the edge of the Nepalese capital, killing 19 people including seven Britons
Desperate fight for life: The pilot reported trouble shortly after leaving Kathmandu airport and appeared to have been trying to turn back when it came down
The pilot reported trouble shortly after leaving Kathmandu airport and appeared to have been trying to turn back when it came down
Fireball: Firefighters battle to douse the burning wreckage of a plane after it came down in a field just minutes after takning off from Kathmandu Airport
Firefighters battle to douse the burning wreckage of a plane after it came down in a field just minutes after takning off from Kathmandu Airport
She told reporters: 'We could hear people inside the aircraft screaming, but we couldn't throw water at the plane to put out the fire because we were scared that the engines were about to explode.'
'The pilot tried his best to make an emergency landing. If he had managed it, then we could have rescued some of the passengers.'
The Dornier Aircraft 9N-AHA was just a kilometre away from the Tribhuvan International Airport in Kathmandu.

Incinerated: Villagers were unable to approach the plane because of the flames and it took some time for firefighters to bring the fire under control
Villagers were unable to approach the plane because of the flames and it took some time for firefighters to bring the fire under control
The weather in Kathmandu and surrounding areas was clear on Friday morning and it was one of the first flights to take off from Kathmandu's Tribhuwan International Airport. Other flights reported no problems, and the airport operated normally.
Mobile phone video shot by local people showed the front section of the plane was on fire when it first hit the ground and it appeared the pilot had attempted to land the plane on open ground beside the river.
The fire quickly spread to the rear, but the tail was still in one piece at the scene near the Manohara River on the south-west edge of Kathmandu.
Villagers were unable to approach the plane because of the flames and it took some time for firefighters to reach the area and bring the fire under control.
Decimated: Rescuers inspect the wreckage of a plane which crashed on the edge of the Nepalese capital Kathmandu minutes after take-off, killing seven British trekkers
Major operation: Hundreds of rescuers and members of the public swarm around the site as investigators begin to piece together the events that led up to the tragedy
Hundreds of rescuers and members of the public swarm around the site as investigators begin to piece together the events that led up to the tragedy
Disaster: The plane, operated by domestic carrier Sita Air, came down just 500 yards from where it took off and appeared to be trying to return there when it came down The plane, operated by domestic carrier Sita Air, came down just 500 yards from where it took off and appeared to be trying to return there when it came down
Trekking tragedy: The aircraft, operated by domestic carrier Sita Air, came down minutes after take-off near the Manohara River on the southwest edge of Katmandu
The aircraft, operated by domestic carrier Sita Air, came down minutes after take-off near the Manohara River on the southwest edge of Katmandu
Mystery: It is not yet known what caused the crash, but the weather were good so investigators will focus on a possible fault with the aircraft
It is not yet known what caused the crash, but the weather were good so investigators will focus on a possible fault with the aircraft
Evidence: A rescue team member holds up bundles of money recovered from the plane. Soldiers and police also sifted through the wreckage to try to identify the victims
A rescue team member holds up bundles of money recovered from the plane. Soldiers and police also sifted through the wreckage to try to identify the victims